Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:ย Hii gari haina watu bana.
Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโ€™ombe?

Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:ย Excuse me condaโ€ฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:ย Ruaka ni how much?
Makanga:ย Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:ย Shukisha dere.
Makanga:ย Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:ย Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:ย Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mjaka (Guest) on October 18, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on September 20, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ‘

Victor Sokoine (Guest) on September 16, 2019

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on August 27, 2019

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜Š

Issack (Guest) on August 17, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! ๐Ÿ’ฐ

Susan Wangari (Guest) on July 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

Carol Nyakio (Guest) on July 15, 2019

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Victor Malima (Guest) on July 6, 2019

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 24, 2019

Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Ndoto (Guest) on June 24, 2019

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Patrick Kidata (Guest) on June 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Victor Kimario (Guest) on June 11, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! ๐Ÿ˜†

Victor Malima (Guest) on June 2, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on May 28, 2019

๐Ÿ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Patrick Kidata (Guest) on May 24, 2019

Nimefurahia hii sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Umi (Guest) on May 24, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Anna Sumari (Guest) on April 26, 2019

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 4, 2019

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Mzee (Guest) on March 31, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐Ÿ†

Lydia Mutheu (Guest) on March 22, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! ๐Ÿ˜†

Stephen Malecela (Guest) on March 17, 2019

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 14, 2019

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on December 24, 2018

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Mboje (Guest) on December 23, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐Ÿ˜…

Hekima (Guest) on November 22, 2018

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Rose Kiwanga (Guest) on November 14, 2018

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Baridi (Guest) on November 14, 2018

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zakaria (Guest) on November 6, 2018

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 30, 2018

๐Ÿ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mchuma (Guest) on October 10, 2018

๐Ÿ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2018

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2018

Hii ni ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 19, 2018

๐Ÿคฃ Hii imenigonga vizuri!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2018

๐Ÿ˜ Kicheko bora ya siku!

Grace Mligo (Guest) on July 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Joseph Kawawa (Guest) on July 21, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 13, 2018

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 10, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 26, 2018

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Simon Kiprono (Guest) on April 18, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Mwajuma (Guest) on April 8, 2018

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on March 23, 2018

๐Ÿ˜‚ Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Andrew Mchome (Guest) on March 4, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2018

Umetisha! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Mwajabu (Guest) on February 24, 2018

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on February 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on February 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

George Mallya (Guest) on January 3, 2018

๐Ÿ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 2, 2018

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Joyce Aoko (Guest) on December 28, 2017

๐Ÿ˜ Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Kawawa (Guest) on December 22, 2017

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ‘

Zubeida (Guest) on November 13, 2017

Asante Ackyshine

Lucy Wangui (Guest) on October 9, 2017

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Mwanakhamis (Guest) on October 1, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ŸŽฏ

Kazija (Guest) on September 1, 2017

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 6, 2017

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Karani (Guest) on July 1, 2017

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!โ€ฆ..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJEโ€ฆ
mke wa laki sita
unalala nae ndaniโ€ฆ.
BANG... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-ย kwa nini umechelewa kazini
Juma;-ย kuna mtu njiani alidondo... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*๐Ÿ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaย MBWAโ€‹MKALIย kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAIโ€ฆRead More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More