Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on October 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amir (Guest) on September 29, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on September 26, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Shabani (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 2, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Selemani (Guest) on August 20, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on August 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on July 31, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Paul Kamau (Guest) on July 12, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khatib (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on June 7, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on June 2, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rahim (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Issack (Guest) on April 30, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on April 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on March 29, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on March 3, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 24, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on January 15, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Kimani (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Masika (Guest) on January 6, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 10, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Mrope (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

David Ochieng (Guest) on October 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on October 6, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mzee (Guest) on July 18, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Wilson Ombati (Guest) on July 7, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on June 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on May 31, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Akoth (Guest) on May 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on May 30, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on May 24, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on May 16, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on May 14, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 6, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on March 29, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rubea (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Hawa (Guest) on December 2, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on September 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on September 11, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Issa (Guest) on August 30, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Thomas Mtaki (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on August 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on July 26, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More