Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Featured Image

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje,

Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, 'We nani?', Jamaa akajibu, 'Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri kaenda Songea mi ndo najivinjari hapa'. Mume kajibu kwa uchungu, Shenzi mkubwa, ngoja nirudi toka Songea nakuua.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

*Mniache mimi sipendi Ujinga Ujinga πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒοΏ½πŸƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mrope (Guest) on July 1, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 30, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mutheu (Guest) on June 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on June 27, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on June 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on May 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on April 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alex Nakitare (Guest) on April 5, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on March 29, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on January 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ali (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Wilson Ombati (Guest) on December 21, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Charles Mrope (Guest) on December 14, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Azima (Guest) on October 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rehema (Guest) on September 16, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halima (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

John Kamande (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Janet Sumaye (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Grace Mushi (Guest) on June 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Neema (Guest) on May 26, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on May 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Arifa (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 25, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 19, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 21, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Makame (Guest) on March 3, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Waithera (Guest) on February 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Binti (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Grace Majaliwa (Guest) on February 6, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 5, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joy Wacera (Guest) on February 3, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on January 6, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 4, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 7, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 10, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

John Mwangi (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on September 26, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Husna (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwafirika (Guest) on June 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Related Posts

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More