Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jamal (Guest) on May 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 10, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samuel Omondi (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Kimario (Guest) on February 26, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on February 12, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on January 6, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on December 29, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Bahati (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on October 21, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Linda Karimi (Guest) on October 1, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on July 21, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on June 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on March 27, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahma (Guest) on February 18, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on February 14, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Kamau (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on November 12, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Safiya (Guest) on October 19, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khadija (Guest) on October 11, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mohamed (Guest) on October 6, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on October 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 1, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Sarah Achieng (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nduta (Guest) on June 26, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Latifa (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on June 4, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on June 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 18, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on March 9, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 1, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 28, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on January 27, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on January 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Abdullah (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Diana Mumbua (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Amina (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Paul Ndomba (Guest) on May 20, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on May 3, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More