Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidi (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mahiga (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Karani (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Halima (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on January 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Salma (Guest) on August 1, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Nancy Komba (Guest) on June 9, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

James Kimani (Guest) on May 11, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jaffar (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on March 23, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on March 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

David Kawawa (Guest) on February 21, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on December 4, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on October 16, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on October 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Chepkoech (Guest) on September 9, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanahawa (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Richard Mulwa (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Maneno (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on July 7, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on April 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on April 13, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Samson Tibaijuka (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on April 8, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Diana Mallya (Guest) on February 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on February 15, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nassor (Guest) on January 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on December 25, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Related Posts

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More