Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwanakhamis (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Victor Sokoine (Guest) on December 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 2, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on November 28, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Issa (Guest) on October 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on September 27, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Tenga (Guest) on July 9, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 17, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Makame (Guest) on May 11, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Henry Sokoine (Guest) on April 21, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on April 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on April 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on April 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Esther Nyambura (Guest) on March 29, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on March 17, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on March 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on February 21, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rashid (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mgeni (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on November 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on October 28, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Farida (Guest) on October 3, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Athumani (Guest) on August 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on July 27, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

John Malisa (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on July 11, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maida (Guest) on July 11, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Francis Mtangi (Guest) on June 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on May 30, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 19, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on April 4, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ndoto (Guest) on February 27, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on January 26, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on January 20, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Daniel Obura (Guest) on November 21, 2019

😊🀣πŸ”₯

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on October 19, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on September 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More