Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Daniel Obura (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Richard Mulwa (Guest) on June 2, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 27, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on April 22, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on April 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 5, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Yahya (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on February 10, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Sokoine (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on January 13, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mazrui (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on December 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on December 24, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on December 23, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 13, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 18, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on October 24, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Masika (Guest) on October 7, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on October 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rukia (Guest) on September 21, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Waithera (Guest) on September 21, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mariam (Guest) on September 20, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on September 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Anna Malela (Guest) on August 25, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on August 24, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on August 18, 2021

🀣πŸ”₯😊

Mary Kidata (Guest) on August 17, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Halima (Guest) on August 7, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Mallya (Guest) on July 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 28, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on June 9, 2021

😊🀣πŸ”₯

Grace Wairimu (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 30, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharifa (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 31, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Abdullah (Guest) on January 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on January 29, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on December 10, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sharifa (Guest) on September 1, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More