Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ changamkia fulsa umri ukifika

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chum (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Susan Wangari (Guest) on January 28, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on January 23, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shamim (Guest) on November 25, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Mtangi (Guest) on November 3, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Tenga (Guest) on September 7, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on August 21, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on July 19, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Salima (Guest) on June 26, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on June 12, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Juma (Guest) on June 6, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Kenneth Murithi (Guest) on June 6, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on May 31, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kassim (Guest) on May 26, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on May 21, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kassim (Guest) on May 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on May 1, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Simon Kiprono (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarafina (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Raha (Guest) on March 5, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nassor (Guest) on March 4, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Masanja (Guest) on February 6, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tabu (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 23, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwanais (Guest) on December 11, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on November 8, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Michael Mboya (Guest) on November 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Arifa (Guest) on September 22, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaidi (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Margaret Mahiga (Guest) on August 12, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on July 4, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kiza (Guest) on June 24, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on June 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on June 8, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on May 29, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on May 22, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on May 18, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on May 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Martin Otieno (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Maida (Guest) on March 14, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on February 20, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nasra (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 31, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Saidi (Guest) on December 22, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anthony Kariuki (Guest) on November 21, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on October 13, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on October 8, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Mbithe (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on August 29, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More