Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Esther Cheruiyot (Guest) on January 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwanaidha (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on September 7, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on August 28, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Majaliwa (Guest) on August 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 2, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on June 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 18, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 29, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

James Malima (Guest) on February 9, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Otieno (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on December 26, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on December 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abdillah (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on November 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on October 14, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Mahiga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Otieno (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 26, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on June 17, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Kikwete (Guest) on June 10, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Sokoine (Guest) on April 28, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More