Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Catherine Mkumbo (Guest) on July 31, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on July 19, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sofia (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lydia Wanyama (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Binti (Guest) on January 22, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 1, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Richard Mulwa (Guest) on November 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Mushi (Guest) on October 8, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nyota (Guest) on September 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 15, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Mushi (Guest) on August 4, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on July 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on March 2, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 23, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edward Lowassa (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kendi (Guest) on January 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on January 20, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Kamande (Guest) on December 16, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Neema (Guest) on December 15, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on October 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on September 25, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Masika (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on August 24, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Mtangi (Guest) on July 7, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 16, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on June 13, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Khadija (Guest) on May 27, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on May 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on April 23, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Mahiga (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alex Nyamweya (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Maulid (Guest) on March 9, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on January 8, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ramadhan (Guest) on December 20, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Christopher Oloo (Guest) on December 16, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on December 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More