Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!

2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.

3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.

4. Kutapika ndani ndani ya Daladala fain 250/= ,ukijamba pia 250/= ,Sasa jamba tukujue viti vina alarm!…

5.Hatujasema wewe ni Mnene ila Ukikalia SITI mbili Lipia….

6. Hio Elfu kumi yako nenda nunua avocado upake alafu uteleze hadi posta ,nauli ya daladala ni 350/=.

7. usifungue dirisha ungetaka upepo ungepanda pikipiki..

8. wewe Dada hebu sogea hukoo, Unaringa nini wakati asubuhi hii umeoga na sabuni ya kuoshea vyombo…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samuel Omondi (Guest) on November 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on October 21, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on October 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on October 2, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mhina (Guest) on October 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Neema (Guest) on September 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Mrema (Guest) on September 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Grace Minja (Guest) on August 24, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on August 18, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Charles Mchome (Guest) on July 24, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jackson Makori (Guest) on June 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on June 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 15, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Patrick Kidata (Guest) on May 7, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Mrema (Guest) on April 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Benjamin Masanja (Guest) on March 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on February 14, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Jacob Kiplangat (Guest) on February 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Issa (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Majaliwa (Guest) on December 7, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Josephine Nekesa (Guest) on November 21, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on November 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sultan (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Charles Wafula (Guest) on October 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Emily Chepngeno (Guest) on September 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on September 14, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Charles Mboje (Guest) on September 10, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on July 21, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Carol Nyakio (Guest) on June 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Salima (Guest) on June 19, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Kibona (Guest) on June 11, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on May 24, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on May 23, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on May 2, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Shani (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Wairimu (Guest) on April 15, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Elizabeth Malima (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on March 21, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on March 13, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nassor (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Nyambura (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Christopher Oloo (Guest) on December 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on December 9, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Sumaye (Guest) on November 28, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 25, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Miriam Mchome (Guest) on October 27, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Salima (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kahina (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Simon Kiprono (Guest) on September 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on August 21, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on August 13, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More