Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on March 9, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Omondi (Guest) on February 27, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zawadi (Guest) on January 31, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nahida (Guest) on January 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Wanjala (Guest) on January 14, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on December 20, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 16, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on November 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on November 13, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Daudi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on August 26, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Janet Wambura (Guest) on August 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 6, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shabani (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ali (Guest) on July 14, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Malecela (Guest) on July 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 17, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Kahina (Guest) on June 13, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 2, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 1, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Omar (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Victor Malima (Guest) on March 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 13, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 4, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on January 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on December 4, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanajuma (Guest) on November 28, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on November 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on October 3, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Sofia (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mary Sokoine (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nancy Komba (Guest) on June 28, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on June 14, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 2, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on April 21, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Waithera (Guest) on March 10, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 29, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Maida (Guest) on January 24, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on January 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More