Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Maimuna (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on February 14, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edwin Ndambuki (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Leila (Guest) on November 30, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on November 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Tenga (Guest) on October 30, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on July 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Linda Karimi (Guest) on June 11, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 19, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on April 21, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jackson Makori (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 5, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on December 1, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kimani (Guest) on December 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on October 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jafari (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 7, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on June 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on April 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabu (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on March 29, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 27, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on March 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Omar (Guest) on December 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Hellen Nduta (Guest) on December 11, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on November 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on November 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on November 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Wambura (Guest) on October 4, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More