Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Mallya (Guest) on March 23, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Issack (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salum (Guest) on September 24, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More