Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on June 4, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on May 31, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 4, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 26, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mwafirika (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on April 17, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 15, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 10, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on April 5, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on March 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on March 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 13, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on February 15, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mahiga (Guest) on February 7, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Mchome (Guest) on January 9, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Grace Wairimu (Guest) on December 11, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on November 27, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on October 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on October 17, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jane Muthui (Guest) on September 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issa (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on August 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on July 20, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on July 20, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on June 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Hashim (Guest) on May 29, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mhina (Guest) on May 28, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on May 21, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on May 13, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on May 9, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on May 1, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on April 9, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on February 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Kibwana (Guest) on February 15, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on February 10, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 3, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on January 17, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Chum (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on September 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on September 14, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 5, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Tibaijuka (Guest) on August 27, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 22, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ann Awino (Guest) on August 9, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on August 5, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on July 25, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More