Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Kidata (Guest) on December 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on November 25, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on November 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on November 3, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jackson Makori (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 3, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 20, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on September 6, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Kibona (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samuel Omondi (Guest) on July 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 27, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jabir (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on February 10, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on November 24, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on November 19, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on November 14, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on October 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on October 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Bernard Oduor (Guest) on August 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Hamida (Guest) on July 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abdullah (Guest) on July 18, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on July 11, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on July 4, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on June 21, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 3, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on May 16, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Binti (Guest) on May 14, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 2, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on March 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on March 8, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Kimani (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Faith Kariuki (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Maneno (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on February 4, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on January 23, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on December 30, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Selemani (Guest) on December 11, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More