Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Kidata (Guest) on December 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on November 25, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on November 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on November 3, 2021

🀣πŸ”₯😊

Jackson Makori (Guest) on November 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 3, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 20, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on September 6, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on September 6, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Kibona (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samuel Omondi (Guest) on July 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 27, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Anthony Kariuki (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jabir (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issa (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on February 10, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Mahiga (Guest) on November 24, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on November 19, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on November 14, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on October 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on October 2, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Bernard Oduor (Guest) on August 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Hamida (Guest) on July 22, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Abdullah (Guest) on July 18, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Mtangi (Guest) on July 11, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on July 4, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on June 21, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 3, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Njuguna (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on May 16, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Binti (Guest) on May 14, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 2, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on March 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on March 8, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

James Kimani (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Faith Kariuki (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Maneno (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on February 4, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Wangui (Guest) on January 23, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on December 30, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Selemani (Guest) on December 11, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More