Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Kamau (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Isaac Kiptoo (Guest) on September 25, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 2, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on August 30, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on August 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on July 29, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 12, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Carol Nyakio (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on June 11, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Sumari (Guest) on May 12, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Akumu (Guest) on May 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on April 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on April 13, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kiza (Guest) on March 23, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Mugendi (Guest) on March 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on December 28, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Patrick Akech (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwajabu (Guest) on December 19, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Mrope (Guest) on December 17, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alice Jebet (Guest) on November 9, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 6, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on November 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on October 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on October 3, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on September 30, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mchuma (Guest) on September 19, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Kiwanga (Guest) on September 16, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Baridi (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Linda Karimi (Guest) on September 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on August 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 16, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on June 11, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 26, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on April 23, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on March 8, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on March 7, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kiwanga (Guest) on February 23, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on February 14, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Margaret Anyango (Guest) on February 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on January 31, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ibrahim (Guest) on January 28, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Shamim (Guest) on January 2, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on January 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on November 17, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on October 3, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More