Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mumbua (Guest) on February 16, 2022

🀣πŸ”₯😊

Philip Nyaga (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Amani (Guest) on January 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Mwinuka (Guest) on January 2, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on January 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on December 31, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on December 15, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on November 28, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on November 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on November 19, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Chacha (Guest) on November 5, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on September 25, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Hellen Nduta (Guest) on September 12, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on August 5, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on July 5, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ahmed (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on June 24, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Khadija (Guest) on June 10, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on June 2, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Raha (Guest) on April 26, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 14, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on April 4, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Mduma (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 20, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on March 19, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on March 6, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Samuel Omondi (Guest) on February 10, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on January 27, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Monica Nyalandu (Guest) on December 31, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 12, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mustafa (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Mallya (Guest) on September 11, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on August 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on July 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on June 22, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on April 27, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nasra (Guest) on April 9, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 9, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 21, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on March 13, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Related Posts

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More