Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zawadi (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2022

😊🀣πŸ”₯

Anna Kibwana (Guest) on August 14, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on August 8, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on July 23, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on July 20, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on June 8, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on February 21, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 19, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on February 11, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhila (Guest) on January 27, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 29, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on November 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on November 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Mahiga (Guest) on November 5, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 4, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 1, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 14, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on September 25, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 6, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on August 30, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Susan Wangari (Guest) on August 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mhina (Guest) on August 18, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nora Kidata (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Josephine Nduta (Guest) on August 3, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rabia (Guest) on July 28, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on July 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 12, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on July 6, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 6, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Mallya (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Abdillah (Guest) on March 23, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 13, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 11, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on February 23, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on January 16, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on January 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on December 28, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 22, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 15, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on December 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on October 23, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 30, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on September 27, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on September 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 1, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Shamim (Guest) on July 22, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Athumani (Guest) on June 14, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on June 13, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More