Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on March 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 19, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Maulid (Guest) on December 19, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wande (Guest) on November 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kidata (Guest) on November 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Wambura (Guest) on October 31, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on October 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 2, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mbise (Guest) on August 31, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chum (Guest) on July 13, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on June 22, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 18, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 17, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Mrema (Guest) on April 12, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hashim (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Josephine Nduta (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Malela (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanahawa (Guest) on December 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on December 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Catherine Naliaka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on November 11, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on October 21, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on October 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sharon Kibiru (Guest) on October 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on May 30, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on May 24, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Michael Onyango (Guest) on March 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on January 24, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on January 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on October 11, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on September 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More