Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Wanjala (Guest) on November 5, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Carol Nyakio (Guest) on October 26, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Nkya (Guest) on October 14, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on September 30, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Joyce Aoko (Guest) on September 18, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Kidata (Guest) on September 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on August 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 30, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nassar (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nuru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Malela (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwajabu (Guest) on May 19, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on May 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on May 5, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

James Malima (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 20, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 6, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Malecela (Guest) on December 18, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kassim (Guest) on December 16, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

David Chacha (Guest) on December 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hamida (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on August 27, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on August 25, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 2, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on July 7, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on May 17, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Mwikali (Guest) on April 2, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Khalifa (Guest) on March 11, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on February 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Khamis (Guest) on February 21, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on January 9, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 5, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on November 26, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on October 19, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on October 14, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zawadi (Guest) on September 20, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More