Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

NAKUA kaingia ndani kamkuta mkewe kalala kitandani kajifunika shuka gubigubi hadi kichwani. Kaenda kwenye kabati kufungua mlango , akamkuta rafiki yake wa miaka mingi yuko uchi ndani ya kabati
NAKUA: Aise unajua we fala sana, we rafiki yangu miaka yote hiyo halafu unamtisha mwanangu eti wewe jini, hebu toka huko nenda kwenu kacheze michezo hiyo na mwanao.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Carol Nyakio (Guest) on October 26, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Nkya (Guest) on October 14, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanais (Guest) on September 30, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Joyce Aoko (Guest) on September 18, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Kidata (Guest) on September 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on August 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 30, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nassar (Guest) on July 6, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nuru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Malela (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwajabu (Guest) on May 19, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on May 15, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on May 12, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on May 5, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

James Malima (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on March 20, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 6, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Malecela (Guest) on December 18, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kassim (Guest) on December 16, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on December 11, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

David Chacha (Guest) on December 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 29, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hamida (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on September 13, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jackson Makori (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mariam (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Mwalimu (Guest) on August 27, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on August 25, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 2, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on July 7, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on May 17, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Mwikali (Guest) on April 2, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Khalifa (Guest) on March 11, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on February 25, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Khamis (Guest) on February 21, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on January 9, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on December 29, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Njoroge (Guest) on December 5, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on November 26, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on October 19, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on October 14, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Zawadi (Guest) on September 20, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kabura (Guest) on September 16, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More