Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Featured Image

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA: eeeh unaniambia hivo mimi?
JAMAA: nakuomba sana forget me.
MSICHANA: aya bwana poa maisha mema.

Msichana anakata simu jamaa ndo ananiuliza."sasa
sijui amekasirikia lipi?" Mi nikamwambia we zuzu
umemwambia AKUSAHAU, dah, kumbe
ningemwambiaje? hahaha, ungemwambia
ForgivE me! au Ungesema Tu NaombA nSameHe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Wilson Ombati (Guest) on February 12, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Joy Wacera (Guest) on February 8, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Selemani (Guest) on January 25, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Christopher Oloo (Guest) on January 23, 2022

Asante Ackyshine

Peter Otieno (Guest) on January 17, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on January 13, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Lowassa (Guest) on December 27, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Saidi (Guest) on December 16, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kassim (Guest) on November 25, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Sokoine (Guest) on November 14, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Nyalandu (Guest) on November 10, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Athumani (Guest) on November 9, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anna Mahiga (Guest) on September 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Jacob Kiplangat (Guest) on August 29, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Issack (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Alex Nyamweya (Guest) on August 8, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Njeri (Guest) on August 3, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Lowassa (Guest) on June 30, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Bahati (Guest) on June 26, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on June 17, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Njeru (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Sokoine (Guest) on May 13, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on April 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on March 5, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 3, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 23, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rahim (Guest) on November 29, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Masanja (Guest) on October 30, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Selemani (Guest) on September 15, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jane Muthui (Guest) on September 12, 2020

😊🀣πŸ”₯

George Mallya (Guest) on September 12, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nasra (Guest) on August 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Issack (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nasra (Guest) on August 28, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on August 23, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 9, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 1, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kazija (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Catherine Naliaka (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on April 11, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Otieno (Guest) on March 20, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on March 14, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Simon Kiprono (Guest) on March 9, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on January 14, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on January 13, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on January 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Arifa (Guest) on December 24, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Mallya (Guest) on October 2, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Related Posts

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More