Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on January 16, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on November 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mchuma (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on September 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kassim (Guest) on September 4, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on August 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on July 31, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Lowassa (Guest) on July 26, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 20, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jane Muthui (Guest) on July 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nahida (Guest) on June 29, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 11, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on June 8, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on May 10, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Binti (Guest) on April 2, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 21, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 2, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on January 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on January 7, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on November 2, 2020

Asante Ackyshine

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on September 6, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Martin Otieno (Guest) on September 5, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on September 2, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on August 30, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on August 4, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on July 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 4, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mrema (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on March 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 23, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bahati (Guest) on March 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Daudi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More