Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on June 29, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Kiwanga (Guest) on June 19, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Edward Lowassa (Guest) on April 8, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on March 22, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on December 29, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Sultan (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rose Kiwanga (Guest) on December 18, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 17, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Maneno (Guest) on October 27, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Mushi (Guest) on October 19, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Azima (Guest) on September 27, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ann Awino (Guest) on September 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Baraka (Guest) on August 24, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on August 22, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Salum (Guest) on August 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on July 24, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Mrope (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwagonda (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hamida (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 10, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Khatib (Guest) on March 10, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on February 13, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on February 6, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Wanjala (Guest) on January 5, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Makame (Guest) on October 28, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on October 17, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumari (Guest) on October 15, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 12, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 19, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Wanjiru (Guest) on June 8, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 8, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on April 11, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Kassim (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 23, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 20, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nchi (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on January 23, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on January 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on January 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on January 3, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More