Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Kamau (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joy Wacera (Guest) on June 30, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Tabu (Guest) on June 29, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Mwalimu (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rehema (Guest) on May 1, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Alice Jebet (Guest) on April 12, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on March 30, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on March 23, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Francis Mrope (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Monica Adhiambo (Guest) on March 14, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Faith Kariuki (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

James Kawawa (Guest) on March 4, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on February 1, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Zuhura (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Linda Karimi (Guest) on January 23, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on January 17, 2024

Asante Ackyshine

Kenneth Murithi (Guest) on January 14, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on January 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mwikali (Guest) on January 3, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

George Tenga (Guest) on October 18, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on October 9, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on October 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Shani (Guest) on August 22, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Kibwana (Guest) on August 18, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 28, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on June 11, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Fikiri (Guest) on May 31, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rahma (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Jane Muthui (Guest) on May 17, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Kawawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on April 22, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on March 25, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on March 18, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on March 11, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Lucy Kimotho (Guest) on March 4, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Raphael Okoth (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Mligo (Guest) on January 31, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 6, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edward Lowassa (Guest) on December 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on November 26, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Alice Mwikali (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Hamida (Guest) on November 24, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on November 4, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on October 14, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on August 13, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on July 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 28, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on June 21, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More