Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wachaga

Featured Image

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanaume wa Rombo wanachunwa sana na wanawake wa Marangu na wanawaita "vishohia". Wanawake wa Rombo ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa Mrombo ujue umeolea kijiji.

2. WAMARANGU; Ni wazuri sana wa sura na umbo, wanavutia. Lakini wanawachuna sana Warombo. Wanawake wa Marangu wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.

3. WAKIBOSHO; wanafanana na Warombo lakini ni wavumilivu zaidi. Biashara kubwa wanayofanya ni ya kuchinja… wengi wanamiliki mabucha. Wana hasira sana na ni wakatili.. Akikuchoma kisu, siku ya mazishi anakuja kudai kisu chake.

4. WAMACHAME; hawa ni wezi sana, ukifanya nae dili umeliwa. Ni wasiri sana lakini wako makini mno hasa kwenye pesa. Wakiwa na hasira hawaoneshi waziwazi, so Mmachame anaweza kukuua huku akitabasamu. Sio waaminifu sana lakini wanaenda kanisani mara nyingi zaidi kuliko Wachaga wote. Wanawake wa machame wanaitwa 'Wapalestina'.. Mume ukitajirika mkeo anakuua ili arithi mali.

5. WAURU; hawa hupenda kusoma sana lakini hawapendi maendeleo kabisa. Hadi leo eneo lao la Kishumundu linatumika ku-identify wachagga washamba. Wanawake wakifikisha umri wa miaka 40 hua wehu na wanaume huwa vichaa mapema zaidi. Wanaume ni wavivu, lakini wanawake ni wachapakazi hodari. Wanazurura mjini na mabeseni wakiuza ndizi mbivu.. Ukioa Uru jiandae kulea kichaa.

6. WASIHA; Kwanza hawapendi kuitwa Wachagga. Wanajiita watu wa West-Kilimanjaro. Ni mchanganyiko wa Wachagga na WaMeru. Hawapendi shule ila wanapenda zaidi kazi za ufundi na kilimo. Viazi vingi vya Chips Arusha na Moshi vinatoka kwao. Wanawake zao wana "vigimbi" mguuni sababu ya kulima mno.!

7. WAKIRUA; wanapenda sifa kama Wahaya. Wanawake wa Kirua ni wachawi kupindukia.. Wanaloga hata jiwe ili tu alikomoe.. Wanaume wa Kirua hawapendi kuoa kwao.. Hawapendi kuishi mjini maana wanaogopa gharama.. lakini siku wakija mjini wawili tu utadhani wako mia.

8. WA OLD-MOSHI; Hawa ni mafundi stadi wa ujenzi wa nyumba, japo hawajengi kwao. Mpaka leo hamna daladala ya kwenda Old-Moshi inayoanzia Moshi mjini, maana ni wabishi kulipa nauli na pesa inaishia kwenye mbege njiani. Wanaume wamezoea kutoka nyumbani saa kumi na moja alfajiri na kurudi saa sita ya usiku kwa miguu.!

Wachaga mnisamehe!
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒβœ‹βœ‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 4, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on March 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kassim (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nassor (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on February 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Tabitha Okumu (Guest) on February 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 1, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on January 19, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 29, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Margaret Mahiga (Guest) on December 18, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2023

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on November 28, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Robert Okello (Guest) on November 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwalimu (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Muthui (Guest) on October 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Halima (Guest) on October 4, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Josephine Nekesa (Guest) on August 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajuma (Guest) on August 1, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Kikwete (Guest) on July 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Guest (Guest) on January 30, 2026

Hahahaha jaman

Janet Sumari (Guest) on July 9, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Ochieng (Guest) on July 7, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Francis Njeru (Guest) on June 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ndoto (Guest) on May 24, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Salma (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Raphael Okoth (Guest) on May 18, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on May 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on April 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on April 25, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 15, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Sumari (Guest) on March 27, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on March 11, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Leila (Guest) on March 2, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on February 21, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 12, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rahma (Guest) on February 4, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on January 27, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on January 13, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 12, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on November 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Zubeida (Guest) on October 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mchawi (Guest) on September 18, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kijakazi (Guest) on August 24, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Shani (Guest) on August 6, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on July 29, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More