Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on December 24, 2025

Au sio!

George Wanjala (Guest) on December 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Ali (Guest) on September 26, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shabani (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rabia (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yusra (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Mallya (Guest) on March 5, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Musyoka (Guest) on January 21, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on October 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on September 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on September 13, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More