Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much.
Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda?
Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka.
Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite?
Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
Mwenyeji: Utakunywa na keki au mkate?
Mgeni: Nipe keki mkate nitanywea chai ikishachemka.
Mwenyeji: Utapendelea ndiz au machungwa,
Mgeni: Nipe machungwa ndizi ntakula na wali
mchana.
Chezea mgeni ww.!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Lissu (Guest) on July 7, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on July 5, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Binti (Guest) on June 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

James Kimani (Guest) on May 22, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nassar (Guest) on May 10, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Mwikali (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Samson Mahiga (Guest) on April 22, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Halima (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Wanyama (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mariam Hassan (Guest) on March 23, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 19, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Omari (Guest) on March 2, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Waithera (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mercy Atieno (Guest) on January 25, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Agnes Sumaye (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on January 10, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 11, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Elizabeth Malima (Guest) on November 10, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 11, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 10, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on October 5, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Samson Mahiga (Guest) on August 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 30, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on June 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on June 25, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Shamim (Guest) on June 4, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yahya (Guest) on May 24, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on May 15, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on May 9, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on May 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on April 30, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Margaret Mahiga (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 30, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Fadhila (Guest) on March 12, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Faith Kariuki (Guest) on February 22, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on February 20, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on January 16, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on January 8, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Victor Malima (Guest) on November 24, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on September 17, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Faiza (Guest) on August 29, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Kheri (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on July 1, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More