Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mgeni (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 28, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Guest (Guest) on December 17, 2025

mambo

Mary Sokoine (Guest) on April 19, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Binti (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahma (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Baraka (Guest) on March 14, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on March 1, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on January 2, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on November 16, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Ann Wambui (Guest) on November 8, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mboje (Guest) on October 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on September 22, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on September 11, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on August 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on August 6, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on August 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on July 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on July 17, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on June 11, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on May 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kassim (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Samson Mahiga (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Makena (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 10, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on December 8, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chiku (Guest) on November 9, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 17, 2025

Dah hiyo noma

Nancy Komba (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mtumwa (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 3, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Zuhura (Guest) on September 24, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on September 21, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on August 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Andrew Mchome (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on August 21, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Stephen Amollo (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanaidi (Guest) on July 17, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Zuhura (Guest) on July 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Kamande (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on June 2, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fredrick Mutiso (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on May 24, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Akumu (Guest) on May 16, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on May 14, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on May 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on April 13, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on April 11, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on March 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More