Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Mboya (Guest) on July 13, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on July 8, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on July 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on May 17, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Frank Sokoine (Guest) on April 28, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Stephen Kangethe (Guest) on April 21, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on April 16, 2024

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on March 5, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edith Cherotich (Guest) on February 8, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

James Kawawa (Guest) on February 8, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 5, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Elizabeth Malima (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on December 9, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on December 3, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on November 21, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Makena (Guest) on November 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Bahati (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Aoko (Guest) on October 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchawi (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Sumari (Guest) on September 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 27, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwinyi (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Kiwanga (Guest) on June 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on April 10, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on March 27, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sekela (Guest) on March 5, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Diana Mallya (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 21, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Carol Nyakio (Guest) on January 13, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Sokoine (Guest) on January 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Hamida (Guest) on December 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Leila (Guest) on November 27, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Kawawa (Guest) on November 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sofia (Guest) on November 13, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on October 21, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Kimario (Guest) on September 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 24, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Wande (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Issack (Guest) on July 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Mushi (Guest) on June 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on June 10, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Sarah Achieng (Guest) on June 2, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on April 30, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Habiba (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Wilson Ombati (Guest) on April 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ann Awino (Guest) on March 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Cheruiyot (Guest) on January 21, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 14, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on December 15, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on November 16, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More