Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Featured Image

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.

Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Masai: kwanini Ng'ombe ngali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku.
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anthony Kariuki (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on July 10, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Charles Wafula (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Juma (Guest) on June 7, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Njoroge (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on May 5, 2024

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Catherine Naliaka (Guest) on April 27, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on March 30, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on March 8, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on February 2, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Dorothy Nkya (Guest) on January 15, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on December 13, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Chum (Guest) on December 13, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 10, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on November 21, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on October 28, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Mboya (Guest) on October 24, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on September 8, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on August 24, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Were (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Henry Mollel (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Andrew Mchome (Guest) on July 2, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on June 16, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on May 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 19, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Josephine Nekesa (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

George Wanjala (Guest) on May 11, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on May 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on March 21, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 26, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Henry Mollel (Guest) on February 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwanais (Guest) on February 18, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Victor Sokoine (Guest) on February 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Brian Karanja (Guest) on January 22, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Husna (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mjaka (Guest) on September 27, 2022

Asante Ackyshine

Anna Kibwana (Guest) on September 19, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on September 16, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on September 9, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on August 30, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Diana Mallya (Guest) on August 16, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on August 7, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 3, 2022

🀣πŸ”₯😊

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 27, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on June 26, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Ndungu (Guest) on June 18, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Chiku (Guest) on June 6, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on April 17, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More