Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Lissu (Guest) on May 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Rukia (Guest) on May 26, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on April 20, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ndoto (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on October 16, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sumaya (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Saidi (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on April 29, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on April 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on April 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on April 2, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Fadhila (Guest) on September 6, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on June 4, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More