
Meseji ya kumtumia dia wako kumuonyesha jinsi unavyompenda
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama naliku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlohaliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi MwenyeweSilijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus.Nakupenda Xana Dia Read and Write Comments

Meseji nzuri ya salamu kwa umpendaye
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms

Meseji ya namna nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda
Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu YenyeKuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha MioyoniMwetu,hutamkwa Kwa Kauli Bashasha,nakshi Na Hofu NdaniYake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi NinavyokujaliNakupenda Mpz Read and Write Comments

Meseji ya kumshauri mtu kuhusu kupenda
Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpwekeAu kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendoSio pesa wala siluhisho la matakwa yako. Read and Write Comments

Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa kuwa unampenda sana
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu,siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtumuhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha.“NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu Read and Write Comments

SMS ya kumshawishi mtu kuwa una upendo wa dhati
moyo upendao kwa dhati.haujalish ni kababu au chapat.n wng wa upendo wenye tarakimu kama somo la hisabati.kumpata akupandae kwa dhati pia hyo n bahati.nimfikiriaye kwa sasa nahc anaupendo wa dhati.Nitashukuru anikaribishe naye nimuonyeshe upendo wa dhat.Huu ni ukaribisho wa penzi la dhati.wenye wing wa furaha na Lenye pendo la kitanashati. Read and Write Comments

Ujumbe wa mapenzi wa kumwambia mpenzi wako jinsi unavyompenda na unavyomuwaza kila siku
Kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapohuhitaji uwepo wako na hasa nikumbukapo kumbato lako,nakupenda mpenzi Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kumjalia hali umpendaye
USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula nawali,usizidishe siki akawa mkali.Nimimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue mesejina kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichokekwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane Read and Write Comments

SMS nzuri ya kimahaba kueleza kuhusu penzi
penzi linaweza kuelezewa kwa namna nyingi. Namna mojaniijuayo nikumtumia mapenzi hayo mtu asomaye meseji hii Read and Write Comments
Recent Comments