
SMS ya mchana mwema kumwambia mpenzi wako aendelee kufurahia mapenzi yako
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu,
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU.
Mchana mwema

SMS ya kumwambia mpenzi wako unampenda na hauna mpango wa kumuacha
Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wanguumeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangupeke yako dear… Read and Write Comments

Ujumbe wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi wako kuwa haupo tayari kumpenda mwingine kwani unampenda yeye tuu
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidiyako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisiamoyoni mwangumpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda Read and Write Comments

SMS tamu ya kimahaba ya kumuomba mpenzi wako asiende mbali na wewe
Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwadakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo Read and Write Comments

SMS ya mchana mwema kumwambia mpenzi wako aendelee kufurahia mapenzi yako
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu,huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ilimapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU.Mchana mwema Read and Write Comments

SMS nzuri sana ya Kimahaba
Nimekuapata! Kama unanichukia, nipige mshale, lakinitafadhali si moyoni sababu hapo ndipo wewe ulipo. Read and Write Comments

SMS nzuriiii ya kumpa mtu hai
Nakupa HAI, kwa sababu uko HAI, usingekuwa HAI, ni vigumu kupewa HAI, basi nawe wape HAI, walio HAI, maana ni bahati kuwa HAI, wengi walitamani kuwa HAI, lakini wamepoteza UHAI,

SMS Nzuri za Mapenzi
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyowangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu nimachozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozinihaitochuruzika ila mishipani… . Read and Write Comments

SMS nzuri ya usiku mwema kwa sweet wako
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako ya kumuomba aje kwako
Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioishahamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadiasubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopawengine wanaweza kukupa… .njoo leo uniambie unatakanini? Read and Write Comments
Recent Comments