Ujumbe mzuri wa mapenzi wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako siku ya wa pendanao au siku ya valentine
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda sikuzote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewendiyo ua la moyo wangu! Read and Write Comments
SMS ya kimahaba kumwambia mpenzi wako kuwa yeye ni ndoto yako
Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli,lakini nilibadili mawazo yangu pale tu nilipokuona wewe. Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa kuamsha mapenzi kwa mtu
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompenda…!! …
Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako mlioachana kumwambia hakuwa sahihi
maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa, lakini nimakubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani.inaniuma sana Read and Write Comments
SMS ya kuasa na kutakia kila la heri katika mapenzi
Mapenzi ni kitu kisichotabirika, ndio maana kila mwenye KUPENDA au KUPENDWA hana uhakika na PENZI lake kwa yule AMPENDAE, Muda wote huhisi anasalitiwa. PENZI Ni kama JENGO lililokosa NGUZO muda wowote unahisi litadondoka… Usinielewe vibaya sikukatazi KUPENDA au KUPENDWA, ila tazama wapi UMEPENDA au UMEPENDWA.kilalakher kwa umpendae Read and Write Comments
Ujumbe wa mapenzi kwa umpendaye kwa dhati
Nakupenda usiku na mchanaNakuwaza siku zote za maisha yangu Read and Write Comments
Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa wewe ndiye unayempenda wa kwanza
♥Watu wanao pendana daima hukumbukana!!! Na salamukusalimiana!!! Afya njema kutakiana!!! Hurumahuoneana!!! Kwenye shida husaidiana!!! Makosahusameheana!!! Katika dhiki huvumiliana!!! Kilajambo zur hupeana!!! Maneno mazur yaliyo jaa upendohuambiana!!! Ushaur mwema hushauriana na njiaza mafanikio huonyeshana!!! Mbele ya madui hulindana!!!naini mmoja katia ya wakupendao,hakika nimm wa kwanza kwanza wengine wanafata♥ Read and Write Comments
SMS yakumtumia mtu unayempenda lakini hamko kwenye mahusiano
macho huona na moyo hurdhia,ila co kila kitu jicho lionalo moyo hurdhia.lakn pind moyo urdhiapo upendo moyon huingia.moyo huwa kpofu japo wng wa hisia.upendo ndan ya moyo haupimwi kwa mizani kwa unayemzimikia. moyo wangu umepata hisia Kwa flan licha bdo cjamjua. Read and Write Comments
Meseji ya kumuaminisha mpenzi wako kuwa unampenda
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa hayanisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo Read and Write Comments
Ujumbe wa kuasa kuhusu upendo
UPENDO ni ubeti wa maneno yaliyo tamkwa mpaka sasa hajulikan nani alietunga!PENZI ni hadithi iliyocmuliwa lakin mpaka sasa hafahamik nan muhucka, ndio maana kila mwenye KUPENDA au KUPENDWA hana uhakika muda wote huhis anasalitiwa.PENZI Ni kama jengo lilokosa nguzo muda wowote unahic litadondoka… Ucnielewe vibaya ckukatazi KUPENDA au KUPENDWA, ila tazama wap UMEPENDA au UMEPENDWA!je …
Recent Comments