Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Featured Image

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.





MFUGAJI: Nawalisha mabaki ya chakula toka migahawa mbalimbali
.
MWANAHARAKATI: Hayo ni makosa unawatesawanyama kwa kuwalisha chakula kichafu. Akapigwa faini… Baada ya siku chache wakaja wanaharakati toka Umoja wa Mataifa
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.





MFUGAJI: Huwa nawaanzia siku na uji wa ulezi, halafu mikate, mchana ugali kwa kabeji na usiku viazi
.
MWANAHARAKATI: Loh watu wanakufa kwa njaa wewe unalisha nguruwe, akapigwa faini….siku chache baadae wakaja wanaharakati wa Mazingira
.
MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalisha nini?
.
MFUGAJI: (Kwanza akasita kidogo) Hawa huwa nawapa shilingi alfu tano kila mmoja kila siku halafu wao wenyewe wanaenda kununua chakula wanachokitaka.. .


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Christopher Oloo (Guest) on July 19, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on June 21, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on June 9, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on May 5, 2024

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 16, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fadhila (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Omar (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on December 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on December 11, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nduta (Guest) on November 20, 2023

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on November 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on October 29, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwagonda (Guest) on September 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mgeni (Guest) on August 16, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mzee (Guest) on July 26, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on July 20, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Neema (Guest) on July 2, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Kamande (Guest) on June 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samson Tibaijuka (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on May 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on April 26, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Francis Mrope (Guest) on April 3, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on March 29, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Abubakar (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Emily Chepngeno (Guest) on January 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 16, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on January 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Grace Njuguna (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine Nekesa (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on December 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on September 9, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Janet Sumari (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on July 2, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sarah Achieng (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nasra (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rabia (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Chris Okello (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fikiri (Guest) on June 7, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Maida (Guest) on May 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Miriam Mchome (Guest) on April 27, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Akech (Guest) on March 17, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rose Amukowa (Guest) on March 9, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More