Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 29, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Guest (Guest) on December 20, 2025

next nini ili happen

Samuel Omondi (Guest) on May 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 11, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 9, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on April 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Henry Mollel (Guest) on March 21, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Latifa (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Sokoine (Guest) on February 2, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Philip Nyaga (Guest) on January 5, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 27, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Catherine Naliaka (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mwajabu (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Francis Mtangi (Guest) on December 15, 2023

😊🀣πŸ”₯

Wande (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

David Nyerere (Guest) on November 28, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on November 19, 2023

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on November 12, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on November 12, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on August 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on August 11, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Carol Nyakio (Guest) on July 30, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on July 19, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Robert Okello (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Kimaro (Guest) on June 30, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 14, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on June 12, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on May 4, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Sarah Karani (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Kamande (Guest) on February 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on January 21, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on November 19, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rukia (Guest) on November 13, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on November 1, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Mrope (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on October 1, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 7, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on September 4, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on August 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on August 19, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Sarah Karani (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Farida (Guest) on July 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More