Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mugendi (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on July 7, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on June 1, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on May 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on May 21, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusuf (Guest) on May 21, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on April 29, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Andrew Mchome (Guest) on April 9, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on April 2, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Henry Sokoine (Guest) on January 19, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on January 11, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ahmed (Guest) on January 3, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

David Chacha (Guest) on December 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on December 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kahina (Guest) on December 20, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Mduma (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Abdillah (Guest) on December 8, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on December 7, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 5, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on November 30, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on October 22, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on October 22, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on September 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

James Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on August 26, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on August 8, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on August 7, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Majid (Guest) on July 25, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Azima (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Frank Sokoine (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Agnes Lowassa (Guest) on June 6, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

David Kawawa (Guest) on June 1, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on May 27, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 1, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on March 24, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jane Muthoni (Guest) on February 26, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on February 16, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on December 28, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 26, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Waithera (Guest) on November 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rukia (Guest) on November 14, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on October 24, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 23, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on October 12, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shamsa (Guest) on September 7, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Daudi (Guest) on August 15, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 12, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Kawawa (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on July 8, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Related Posts

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More