Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye

Featured Image

Fikra hutawala mtima wangu, Kwa madhila yalojaa duniani, Kwa muhali wa yanayojiri, Kwa machweo na mawio, Kwa totoro ama nuruni, Nao moyo hukosa ukamilifu, Kwa utashi wa zake hisia, Zinipazo sababu kuu, Ya upendo juu yako, Ya kukufanya daima uwe, Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni, Daima wewe hutawala, Kila asubuhi niamkapo, Nao usiku nilalapo, U chakula changu akilini, Nalo tulizo langu moyoni, Daima huuwaza upekee, Wewe uliojaaliwa, Na hivyo naihisi furaha, Daima wewe uwapo, Mawazoni mwangu.





Unaweza kutuma Ujumbe huu kwa Umpendaye hapa






AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chris Okello (Guest) on October 21, 2015

Nakupenda kwa dhati, na kila siku ninayoishi ni kwa ajili ya kukufanya uhisi furaha. Wewe ni sababu ya kila kitu kizuri maishani mwangu, na naahidi kukutunza daima πŸ₯°πŸ’. Kila pumzi ninayovuta ni ishara ya upendo wangu kwako, na sitaki kuacha kamwe kukupenda. Nakushukuru kwa kuwa nami, na najua kuwa maisha yetu yatakuwa yenye furaha na upendo wa milele πŸ’–πŸ’ž.

Ibrahim (Guest) on September 23, 2015

Kila usiku ninapoangalia nyota, naona uso wako. Wewe ni nyota yangu inayong'aa zaidi, na sitaki kuishi bila mwanga wako 🌟😍. Kila nyota ni kama ndoto inayotimia, na najua kuwa tutakuwa na furaha na upendo wa milele. Nakupenda kwa namna isiyo na kikomo, na najua kuwa maisha yetu yatakuwa yenye furaha na upendo wa milele πŸ’–πŸŒ .

Diana Mallya (Guest) on September 19, 2015

Nakupenda kwa dhati, na kila siku ninayoishi ni kwa ajili ya kukufanya uhisi furaha. Wewe ni sababu ya kila kitu kizuri maishani mwangu, na naahidi kukutunza daima πŸ₯°πŸ’. Kila pumzi ninayovuta ni ishara ya upendo wangu kwako, na sitaki kuacha kamwe kukupenda. Nakushukuru kwa kuwa nami, na najua kuwa maisha yetu yatakuwa yenye furaha na upendo wa milele πŸ’–πŸ’ž.

Mwafirika (Guest) on September 5, 2015

Kila mara ninapofikiria kuhusu maisha yetu ya baadaye, naona picha yenye furaha na amani. Wewe ni sababu ya ndoto hizo, na natamani kuzitimiza zote nawe πŸ–ΌοΈπŸ’–. Kila ndoto ninayokuwa nayo ni kuhusu sisi wawili, na najua kuwa tutafurahia maisha ya pamoja kwa furaha na upendo. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na najua kuwa tutakuwa na furaha na upendo wa milele πŸ’–βœ¨.

Mwagonda (Guest) on August 12, 2015

Nakupenda zaidi ya vile dunia inavyoweza kueleza. Wewe ni kila kitu nilichowahi kuhitaji, na najua kuwa upendo wetu utadumu milele πŸŒπŸ’ž. Kila siku ninayokuwa nawe ni baraka, na sitaki kamwe kuacha kuwa na wewe. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na najua kuwa tutakuwa na furaha na upendo wa milele πŸ’–πŸ’«.

Elijah Mutua (Guest) on August 6, 2015

Kila mara ninapofikiria kuhusu maisha yetu ya baadaye, naona picha yenye furaha na amani. Wewe ni sababu ya ndoto hizo, na natamani kuzitimiza zote nawe πŸ–ΌοΈπŸ’–. Kila ndoto ninayokuwa nayo ni kuhusu sisi wawili, na najua kuwa tutafurahia maisha ya pamoja kwa furaha na upendo. Nakupenda kwa namna isiyoelezeka, na najua kuwa tutaendelea kujenga ndoto zetu pamoja πŸ’–βœ¨.

Rahim (Guest) on July 29, 2015

Wewe ni msukumo wa ndoto zangu zote, na kila hatua ninayochukua ni kwa ajili ya kukufikia. Nakupenda kwa namna isiyo na kikomo, na sitaki maisha yangu bila ya kuwa nawe πŸšΆβ€β™‚οΈβ€οΈ.

Grace Minja (Guest) on July 16, 2015

πŸ˜β€οΈπŸ’–

Henry Mollel (Guest) on July 4, 2015

Nakupenda zaidi ya vile ulimwengu ulivyo na anga. Kila nyota ni ahadi yangu ya kukupenda zaidi, na natamani kila siku iongeze nyota nyingine kwenye anga yetu 🌌🌠.

Tambwe (Guest) on June 11, 2015

Unapokuwa mbali, moyo wangu huwa na maumivu yasiyo na kifani. Lakini maumivu hayo yanakuwa faraja ninapokumbuka kuwa wewe ni wangu, na mimi ni wako πŸ’”πŸ“±. Nakukumbuka kila wakati, na moyo wangu unajaa furaha ninapokufikiria. Hata katika umbali, upendo wetu hauwezi kuzuilika, na najua kuwa tutakuwa pamoja milele πŸ’–πŸ’«.

Sekela (Guest) on May 24, 2015

Kila usiku ninapoangalia nyota, naona uso wako. Wewe ni nyota yangu inayong\\\'aa zaidi, na sitaki kuishi bila mwanga wako 🌟😍.

Grace Majaliwa (Guest) on May 5, 2015

Kila usiku unapofunga macho yako, ninatuma maombi yangu ya upendo kwako. Nakutakia ndoto tamu, ndoto ambazo zinaakisi hisia zangu za dhati kwako, na ambazo zitakufanya uhisi furaha ya kweli πŸŒ πŸ’€. Nakutakia amani ya usiku na mwangaza wa upendo wetu katika kila ndoto zako. Wewe ni zaidi ya ndoto, wewe ni uhalisia mzuri zaidi wa upendo wetu πŸ’–βœ¨.

James Malima (Guest) on April 20, 2015

❀️😍🌹 Nakuthamini sana

Edwin Ndambuki (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜πŸŒΉπŸ’•

Related Posts

SMS nzuri ya kumsifia mpenzi wako

SMS nzuri ya kumsifia mpenzi wako

Uzuri wako hung'ara kuendana na matendo yako,
Ushupavu, upole, ujasiri na uchamb... Read More

SMS ya kimahaba kumwambia mpenzi wako kuwa yeye ni ndoto yako

SMS ya kimahaba kumwambia mpenzi wako kuwa yeye ni ndoto yako

Nilikuwa nikifiria kwamba ndoto haziwezi kuwa kweli,
lakini nilibadili mawazo ya... Read More

SMS ya kumtumia mpenzi wako kujivunia kuwa na yeye

SMS ya kumtumia mpenzi wako kujivunia kuwa na yeye

Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni
yangu,najisifu kuwa nawe maishan... Read More

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako wakati anahuzuni kumwambia kuwa uko kwa ajili yake

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako wakati anahuzuni kumwambia kuwa uko kwa ajili yake

Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wa
kukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbi... Read More

Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe

Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe

sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbali
nami lkn penzi lako ba... Read More

Ujumbe wa kimahaba wa kumuuliza mpenzi wako anayatumiaje mapenzi

Ujumbe wa kimahaba wa kumuuliza mpenzi wako anayatumiaje mapenzi

pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatia
na hujeruhi bila kutara... Read More

SMS ya kimahaba ya kumkumbusha mpenzi wako uwepo wako

SMS ya kimahaba ya kumkumbusha mpenzi wako uwepo wako

Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapo
tambua yupo anayekuwaza ,... Read More

Ujumbe wa mahaba wa kumwambia mpenzi wako unamzimia

Ujumbe wa mahaba wa kumwambia mpenzi wako unamzimia

nalia ukiwa mbali, nachukia nisipo kuona ,najuta ninapo
kuudhi ,naumia unapo nit... Read More

SMS ya kumtumia mpenzi wako kunapokuwa na wanafiki wanaoingilia penzi lenu

SMS ya kumtumia mpenzi wako kunapokuwa na wanafiki wanaoingilia penzi lenu

Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi
letu linavyozidi kuku... Read More

Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi kumwambia kuwa yeye ni mmoja tuu katika maisha yako

Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi kumwambia kuwa yeye ni mmoja tuu katika maisha yako

Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7
katika wiki, masaa 24... Read More

Ujumbe mzuri wa usiku mwema kwa umpendaye

Ujumbe mzuri wa usiku mwema kwa umpendaye

Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani, Raha ya Ndege ujumbe nakupa mpe... Read More

Meseji ya kumuomba mpenzi wako akwepe fitina kwani unampenda sana

Meseji ya kumuomba mpenzi wako akwepe fitina kwani unampenda sana

Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda
mpz, nakupenda tukwepe fitina mpz.... Read More