Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Related Posts

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More