Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Mbithe (Guest) on December 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 25, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on October 8, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on August 1, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on July 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Kheri (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Kimotho (Guest) on July 4, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on March 31, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samuel Omondi (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Omar (Guest) on March 1, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nancy Komba (Guest) on February 19, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on February 10, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on January 4, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on December 16, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on December 2, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mariam (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Frank Sokoine (Guest) on November 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on September 28, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 17, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on September 2, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Edwin Ndambuki (Guest) on August 30, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 23, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on August 3, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Monica Adhiambo (Guest) on June 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on May 27, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamim (Guest) on May 11, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Moses Mwita (Guest) on April 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 15, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Bakari (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on January 26, 2016

🀣πŸ”₯😊

Ann Awino (Guest) on January 4, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Warda (Guest) on December 21, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Christopher Oloo (Guest) on November 24, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on November 8, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 2, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on October 6, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 30, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fadhila (Guest) on August 3, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Sumari (Guest) on July 29, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Benjamin Kibicho (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Musyoka (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Arifa (Guest) on May 7, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 29, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on April 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More