Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rubea (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ibrahim (Guest) on March 15, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on February 19, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Sumari (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 17, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 1, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on December 25, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Anna Mahiga (Guest) on December 11, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on December 8, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on December 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on November 28, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Nkya (Guest) on October 1, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on August 20, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on August 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on July 13, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Linda Karimi (Guest) on May 19, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on May 11, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Henry Mollel (Guest) on April 4, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on April 1, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edward Chepkoech (Guest) on March 26, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 14, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Nora Kidata (Guest) on February 26, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on February 4, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on December 30, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on December 5, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on November 25, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Yusra (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Omar (Guest) on October 29, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Paul Kamau (Guest) on October 29, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on October 27, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on October 23, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on October 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mtumwa (Guest) on October 6, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Irene Makena (Guest) on September 25, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Daniel Obura (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on July 25, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on June 28, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Latifa (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Mwalimu (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More