Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on August 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Kamande (Guest) on July 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Safiya (Guest) on June 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Miriam Mchome (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on May 8, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on April 28, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on March 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on March 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Selemani (Guest) on January 24, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 23, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on December 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on November 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on June 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on April 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 1, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on January 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issa (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on November 9, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on October 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maneno (Guest) on September 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanajuma (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on August 16, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 12, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 4, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on June 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on June 11, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Njeri (Guest) on April 15, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More