Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Nyalandu (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Guest (Guest) on July 17, 2025

Poa

Sultan (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on June 13, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Joy Wacera (Guest) on May 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on May 1, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 24, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 20, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wande (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on March 9, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on March 7, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on March 6, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Anna Kibwana (Guest) on March 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on March 2, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Kamande (Guest) on February 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on February 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 4, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 4, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 17, 2023

🀣πŸ”₯😊

David Sokoine (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on December 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on October 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on October 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on October 2, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 6, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on July 11, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mercy Atieno (Guest) on June 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on June 23, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on June 13, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on June 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Leila (Guest) on April 29, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salima (Guest) on April 28, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on April 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 6, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on April 3, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 18, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on March 14, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on February 19, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 13, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on February 4, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 27, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Related Posts

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More