Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on November 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 26, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Henry Mollel (Guest) on October 9, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 7, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on September 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on September 4, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Kitine (Guest) on August 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on July 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 22, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mustafa (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Musyoka (Guest) on March 6, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kiza (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on January 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on January 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ahmed (Guest) on December 16, 2016

Asante Ackyshine

Mwanaisha (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Akumu (Guest) on November 16, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 22, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Mallya (Guest) on October 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Nasra (Guest) on September 29, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 15, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Safiya (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Joseph Kitine (Guest) on June 1, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwakisu (Guest) on May 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Chacha (Guest) on March 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on February 18, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ramadhan (Guest) on January 27, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rukia (Guest) on December 11, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Muslima (Guest) on November 25, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sultan (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on August 30, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 23, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on July 20, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 30, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Malima (Guest) on June 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More