Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Azima (Guest) on June 19, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Catherine Naliaka (Guest) on June 18, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Umi (Guest) on June 16, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 15, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on May 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on April 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 20, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rukia (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Martin Otieno (Guest) on January 30, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on January 14, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rashid (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on December 23, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on November 9, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on October 30, 2019

😊🀣πŸ”₯

George Wanjala (Guest) on October 21, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwakisu (Guest) on October 15, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kiwanga (Guest) on September 9, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on September 6, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Malima (Guest) on September 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on September 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on August 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on August 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on July 26, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Edward Lowassa (Guest) on April 30, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on April 26, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on April 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on March 12, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tambwe (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nchi (Guest) on February 15, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sharifa (Guest) on January 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Miriam Mchome (Guest) on January 13, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Akinyi (Guest) on November 13, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Sumaye (Guest) on September 25, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Charles Mrope (Guest) on August 27, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Muthoni (Guest) on August 12, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rahim (Guest) on July 14, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Zubeida (Guest) on July 4, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Lowassa (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Frank Sokoine (Guest) on June 2, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 13, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on May 7, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Kibwana (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on March 23, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Warda (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More