Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Featured Image

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanisha Nini?

Mume: Nitaondoka ijumaa na Kurudi j3..
Mke: Unanishangaza, kama utafanya hivi nami nitafanya kama Maria..
Mume: Unamaanisha Nini?
Mke: Nitapata mimba bila ya kuingingiliwa na wewe mume wangu..
Mume: 😳😳😳

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Mushi (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on January 3, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on December 30, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 11, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Halima (Guest) on December 10, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on December 9, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on November 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 28, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Mchome (Guest) on October 16, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Tabitha Okumu (Guest) on October 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on September 25, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Asha (Guest) on August 21, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on August 17, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hassan (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Michael Onyango (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on July 6, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Janet Sumari (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Biashara (Guest) on May 18, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Salima (Guest) on May 9, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Komba (Guest) on May 3, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baraka (Guest) on April 30, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Mchome (Guest) on April 25, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Henry Sokoine (Guest) on April 12, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on March 12, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

David Musyoka (Guest) on February 15, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on February 7, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on February 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Jamal (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Frank Macha (Guest) on January 10, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 3, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Miriam Mchome (Guest) on December 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Irene Akoth (Guest) on December 21, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on December 19, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on November 22, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on November 8, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nashon (Guest) on October 25, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Susan Wangari (Guest) on September 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 22, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on August 19, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on July 28, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on June 27, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 25, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rahma (Guest) on June 19, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Shamim (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on May 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on May 23, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on May 2, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 23, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on March 23, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Malecela (Guest) on March 15, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on February 18, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on January 8, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on October 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Related Posts

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More