Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Malima (Guest) on October 6, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 6, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on August 11, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Muslima (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Kamande (Guest) on July 31, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on July 29, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on July 26, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on July 16, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on July 2, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Mwanaisha (Guest) on July 1, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthoni (Guest) on June 20, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on June 10, 2019

😊🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on June 1, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on May 28, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on April 18, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 29, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on March 26, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edward Chepkoech (Guest) on March 22, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on March 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mohamed (Guest) on January 17, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Stephen Amollo (Guest) on January 16, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mercy Atieno (Guest) on November 8, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Mushi (Guest) on October 21, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 15, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Francis Mtangi (Guest) on October 9, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rahma (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Thomas Mtaki (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Adhiambo (Guest) on July 5, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on June 26, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mwanaidha (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Hellen Nduta (Guest) on June 8, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mhina (Guest) on June 8, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Victor Mwalimu (Guest) on May 24, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on May 10, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Wairimu (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on March 1, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Rose Kiwanga (Guest) on February 20, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Ruth Kibona (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Masika (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Mahiga (Guest) on December 28, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Stephen Kangethe (Guest) on December 11, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

John Malisa (Guest) on October 4, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on September 29, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Minja (Guest) on August 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on August 10, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on June 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on June 25, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ahmed (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 3, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More