Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Tabitha Okumu (Guest) on July 4, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Khalifa (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kendi (Guest) on June 30, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 17, 2024

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nasra (Guest) on May 17, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Frank Macha (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Nyerere (Guest) on April 22, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Kimotho (Guest) on March 31, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Chacha (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Mduma (Guest) on February 25, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

John Mwangi (Guest) on January 24, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on January 11, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on December 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Kimaro (Guest) on November 28, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 9, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sultan (Guest) on October 20, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Njeri (Guest) on October 14, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Simon Kiprono (Guest) on September 8, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chris Okello (Guest) on July 25, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on May 27, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on May 2, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 12, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Mallya (Guest) on April 4, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on March 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Peter Mwambui (Guest) on March 14, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on March 12, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Agnes Njeri (Guest) on March 1, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on January 2, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Ann Awino (Guest) on December 22, 2022

🀣πŸ”₯😊

David Kawawa (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Janet Wambura (Guest) on December 8, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Minja (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajuma (Guest) on November 17, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on October 8, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on October 4, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 30, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Fatuma (Guest) on September 11, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on August 31, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Frank Macha (Guest) on August 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on August 7, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nassar (Guest) on July 28, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Malecela (Guest) on July 26, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 19, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on July 5, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Yusuf (Guest) on June 28, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Aziza (Guest) on June 27, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

John Mwangi (Guest) on May 19, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Joseph Njoroge (Guest) on May 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More