Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Susan Wangari (Guest) on September 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on September 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ali (Guest) on August 22, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on August 16, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 13, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kamau (Guest) on April 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on April 7, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sekela (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Mrema (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 18, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 20, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ibrahim (Guest) on October 17, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Miriam Mchome (Guest) on September 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Were (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Njeru (Guest) on August 30, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on August 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chum (Guest) on July 19, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthoni (Guest) on July 6, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Zainab (Guest) on June 13, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Njeru (Guest) on June 8, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nyota (Guest) on May 30, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 21, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 11, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 10, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on March 30, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on March 28, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on March 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on February 9, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Mushi (Guest) on January 11, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Kangethe (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Malima (Guest) on November 29, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 14, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on October 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fatuma (Guest) on August 30, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Wafula (Guest) on July 26, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Umi (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on June 1, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More