Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 13, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on June 16, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on May 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthui (Guest) on May 15, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Komba (Guest) on April 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on March 1, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on February 12, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on January 11, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Adhiambo (Guest) on January 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hellen Nduta (Guest) on December 13, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on November 4, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mwikali (Guest) on November 3, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on October 5, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on October 2, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 24, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Richard Mulwa (Guest) on August 30, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Sumaye (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on July 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanais (Guest) on June 10, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Mligo (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Diana Mumbua (Guest) on April 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 15, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Esther Nyambura (Guest) on January 30, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on January 24, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Majid (Guest) on January 11, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Odhiambo (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on January 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on December 11, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Yahya (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on November 21, 2017

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on November 4, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Malisa (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Umi (Guest) on August 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mumbua (Guest) on July 11, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on June 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Martin Otieno (Guest) on June 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on April 20, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Aoko (Guest) on March 30, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More