Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mboje (Guest) on March 21, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 6, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on March 6, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on March 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on February 14, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on January 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Athumani (Guest) on December 6, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on November 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on October 30, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salma (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lydia Wanyama (Guest) on October 22, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mariam Kawawa (Guest) on September 1, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Nyota (Guest) on August 2, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ann Awino (Guest) on July 1, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Rose Kiwanga (Guest) on June 20, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on May 17, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ann Wambui (Guest) on May 15, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Amollo (Guest) on April 26, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on April 4, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on February 26, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 19, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 30, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mgeni (Guest) on December 19, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nahida (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Njoroge (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on November 5, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sekela (Guest) on October 21, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on October 9, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Henry Mollel (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Salma (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Chris Okello (Guest) on August 4, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 28, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on July 24, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nakitare (Guest) on April 29, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Mahiga (Guest) on April 10, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Alice Jebet (Guest) on April 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on March 28, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 24, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on March 3, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on February 29, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Malima (Guest) on January 18, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Linda Karimi (Guest) on January 17, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 7, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joyce Aoko (Guest) on November 11, 2019

😊🀣πŸ”₯

Joyce Nkya (Guest) on October 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Daniel Obura (Guest) on September 29, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Andrew Mchome (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on September 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More